Floyd Mayweather awachanganya Matajiri kwa hili

In Burudani

Bondia maarufu Floyd Mayweather alitangaza moja ya mali zake za gharama na kutaja bei ambayo kama mtu yeyote angekuwa na uwezo angemuuzia.

Kupitia mtandao wa wa biashara za online eBay tarehe 31 ya mwezi uliopita akaunti rasmi ya Mayweather  ilipandisha picha ya gari lake la gharama aina ya “Bugatti Grand Sport Vitesse ya mwaka 2015′ iliyotangazwa kuuzwa dola millioni za kimarekani 3.95 ambayo ni sawa na Tsh bilioni 8.8.

Muonekano wa gari hilo nje na ndani

Floyd amekuwa ni mtu wakumiliki vitu vya gharama na inawezekana kabisa aliweka gari hilo mtandaoni kujiingizia pesa kupitia umaarufu kwa kuwa wengi wangetamani kumiliki gari hilo ambalo ameshalitumia.

Hata hivyo gari hilo mwisho wa biashara hiyo ilikuwa ni tarahe 5 ambapo hakuna mtu aliyeweza kufikia dau hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu