Floyd Mayweather awachanganya Matajiri kwa hili

In Burudani

Bondia maarufu Floyd Mayweather alitangaza moja ya mali zake za gharama na kutaja bei ambayo kama mtu yeyote angekuwa na uwezo angemuuzia.

Kupitia mtandao wa wa biashara za online eBay tarehe 31 ya mwezi uliopita akaunti rasmi ya Mayweather  ilipandisha picha ya gari lake la gharama aina ya “Bugatti Grand Sport Vitesse ya mwaka 2015′ iliyotangazwa kuuzwa dola millioni za kimarekani 3.95 ambayo ni sawa na Tsh bilioni 8.8.

Muonekano wa gari hilo nje na ndani

Floyd amekuwa ni mtu wakumiliki vitu vya gharama na inawezekana kabisa aliweka gari hilo mtandaoni kujiingizia pesa kupitia umaarufu kwa kuwa wengi wangetamani kumiliki gari hilo ambalo ameshalitumia.

Hata hivyo gari hilo mwisho wa biashara hiyo ilikuwa ni tarahe 5 ambapo hakuna mtu aliyeweza kufikia dau hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu