Halmashauri ya jiji la Mbeya kujenga kituo cha Mabasi

In Kitaifa

Halmashauri ya jiji la Mbeya ipo katika mikakati ya ujenzi wa kituo cha
mabasi cha kisasa katika eneo la uwanja wa ndege wa zamani.
 
hayo yamesemwa na mstahiki meya wa jiji la mbeya DourMohamed Issa
ambapo amesema tayari wamekamilisha mchakato wa kupata fedha za mkopo
kutoka benki ya dunia.

Aidha ameongeza kuwa tayari wamempata mkandarasi ambae atashughulika
na ujenzi huo.
 
Pamoja na hayo amesema  wataboresha miundo mbinu ya barabara ndani ya jiji
la mbeya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu