JAY Z Mwana HIP HOP aliyeongoza kuingiza pesa nyingi 2021

In Burudani, Kimataifa

Wakati Jay-Z na Kanye West walipozindua albamu yao ya kitambo ya Watch the Throne mwaka 2011, walipata mapato ambayo yanaonekana kuwa ya kawaida. Jay-Z aliingiza dola milioni 37, akiongoza orodha ya Forbes ya “Hip-Hop Cash Kings”, huku Kanye akiingiza $16 milioni.

Jay-Z anatajwa kuongezeka kwa pato lake ni kutokana na kuuza hisa zake za TIDAL kwa kampuni ya Square Inc. Nafasi ya pili inashikiliwa na rappa Kanye West ambaye inatajwa pato lake kubwa limeongezeka kupitia biashara zake za bidhaa za Yeezy.


Kumekuwa na maingizo mapya huku Doja Cat akiwa mwanamke pekee aliyemo katika orodha hiyo ya wanamuziki 10 wa Hip hop walioingiza fedha nyingi, akiwa katika nafasi ya 10.

orodha kamili.

1. JAY-Z – $470 million
2. Kanye West – $250 million
3. Diddy – $75 million
4. Drake – $50 million
5. Wiz Khalifa – $45 million
6. Travis Scott – $38 million
7. DJ Khaled – $35 million
8. Eminem – $28 million
9. J. Cole – $27 million
10. Birdman – $25 million
10. Doja Cat – $25 million
10. Tech N9ne – $25 million

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu