JPM Ahutubia Bunge la EALA

In Kitaifa

Rais Magufuli ametoa wito kwa wabunge hao kulinda na kuhamasisha wawekezaji na kuwekeza kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki ambapo kuna soko kubwa.

“Kwanini tuvae viatu ambavyo havijatengenezwa nchi za Afrika Mashariki? Kwanini tununue nyama kutoka nje wakati tuna ng’ombe wengi zaidi,? Kwanini tununue samaki wakati tumezungukwa na maziwa na mito na bahari. Haya maswali lazima tujiulize ili kusaidia Jumuia kufikia hatua nzuri kwa manufaa ya wananchi wetu ambao wengi ni maskini.” Alisema JPM.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu