Kanye West ameweka Historia nyingine Duniani

In Burudani

Wakati imetoka Album ya Kanye West The Life of Pablo Watu wengi waliichukulia poa kwasababu ya kuchoka kuisubiri ambapo Kanye West aliahirisha mara kibao kuitoa huku akibadili jina zaidi ya mara 3 mwishowe akitoa kwa jina hilo.

Alichokifanya cha tofauti ni kwamba Album hiyo aliiachia Mtandaoni Pekeee watu wakasema atafell zaidi ila imekuwa Tofauti kwani Album hiyo imeweka Record Kubwa Duniani.

Recording Industry Association of America, RIAA. Imeiitangaza Album ya The Life of Pablo kuwa album ya kwanza iliyotoka mtandaoni pekee kwenda platinum.

Kwa mujibu wa label yake, Def Jam, Kanye amepata cheti cha platinum baada ya album hiyo kusikilizwa mtandaoni mara bilioni 3, kutosha kuifanya ifikie sawa na units milioni moja za mauzo ya kawaida.

HII HAPA CHINI NDIYO POST YA DEF JAM RECORDINGS Waliyopost kwenye Mtandao wa Twitter:-

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu