Kanye West ameweka Historia nyingine Duniani

In Burudani

Wakati imetoka Album ya Kanye West The Life of Pablo Watu wengi waliichukulia poa kwasababu ya kuchoka kuisubiri ambapo Kanye West aliahirisha mara kibao kuitoa huku akibadili jina zaidi ya mara 3 mwishowe akitoa kwa jina hilo.

Alichokifanya cha tofauti ni kwamba Album hiyo aliiachia Mtandaoni Pekeee watu wakasema atafell zaidi ila imekuwa Tofauti kwani Album hiyo imeweka Record Kubwa Duniani.

Recording Industry Association of America, RIAA. Imeiitangaza Album ya The Life of Pablo kuwa album ya kwanza iliyotoka mtandaoni pekee kwenda platinum.

Kwa mujibu wa label yake, Def Jam, Kanye amepata cheti cha platinum baada ya album hiyo kusikilizwa mtandaoni mara bilioni 3, kutosha kuifanya ifikie sawa na units milioni moja za mauzo ya kawaida.

HII HAPA CHINI NDIYO POST YA DEF JAM RECORDINGS Waliyopost kwenye Mtandao wa Twitter:-

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu