Kanye West ameweka Historia nyingine Duniani

In Burudani

Wakati imetoka Album ya Kanye West The Life of Pablo Watu wengi waliichukulia poa kwasababu ya kuchoka kuisubiri ambapo Kanye West aliahirisha mara kibao kuitoa huku akibadili jina zaidi ya mara 3 mwishowe akitoa kwa jina hilo.

Alichokifanya cha tofauti ni kwamba Album hiyo aliiachia Mtandaoni Pekeee watu wakasema atafell zaidi ila imekuwa Tofauti kwani Album hiyo imeweka Record Kubwa Duniani.

Recording Industry Association of America, RIAA. Imeiitangaza Album ya The Life of Pablo kuwa album ya kwanza iliyotoka mtandaoni pekee kwenda platinum.

Kwa mujibu wa label yake, Def Jam, Kanye amepata cheti cha platinum baada ya album hiyo kusikilizwa mtandaoni mara bilioni 3, kutosha kuifanya ifikie sawa na units milioni moja za mauzo ya kawaida.

HII HAPA CHINI NDIYO POST YA DEF JAM RECORDINGS Waliyopost kwenye Mtandao wa Twitter:-

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu