Kanye West ameweka Historia nyingine Duniani

In Burudani

Wakati imetoka Album ya Kanye West The Life of Pablo Watu wengi waliichukulia poa kwasababu ya kuchoka kuisubiri ambapo Kanye West aliahirisha mara kibao kuitoa huku akibadili jina zaidi ya mara 3 mwishowe akitoa kwa jina hilo.

Alichokifanya cha tofauti ni kwamba Album hiyo aliiachia Mtandaoni Pekeee watu wakasema atafell zaidi ila imekuwa Tofauti kwani Album hiyo imeweka Record Kubwa Duniani.

Recording Industry Association of America, RIAA. Imeiitangaza Album ya The Life of Pablo kuwa album ya kwanza iliyotoka mtandaoni pekee kwenda platinum.

Kwa mujibu wa label yake, Def Jam, Kanye amepata cheti cha platinum baada ya album hiyo kusikilizwa mtandaoni mara bilioni 3, kutosha kuifanya ifikie sawa na units milioni moja za mauzo ya kawaida.

HII HAPA CHINI NDIYO POST YA DEF JAM RECORDINGS Waliyopost kwenye Mtandao wa Twitter:-

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu