Kim Kardashian atoa Somo kwa Wanamitindo

In Mitindo

 

Kim Kardashian

Mwanamitindo Maarufu Duniani na Mama wa Watoto Wawili, Kim Kardashian ambaye ni mke halali wa Rapper wa Marekani, Kanye West, Amefunguka Mapya yanayomfanya aendelee kuwa Bora kila wakati kwenye Suala Zima la Mitindo.

Mwanamitindo huyo amesema Siri kubwa aliyoihifadhi moyoni mwake inayomfanya aendelee kuwepo on Top kwa Wanamitindo, ni Kukubali kuyapokea yote mabaya na Mazuri anayotupiwa huku yeye akiyatumia kama Mafunzo kwake.

Kim amesema kuna wakati watu wanamtukana kiasi ambacho angekuwa na Moyo Dhaifu angeshakata tamaa lakini kutokana na Kujiamini kwake na kile anachokifanya yeye anachukulia kama Shule.

Kim Kardashian anaendelea kuweka tishio kwenye Tasnia ya Mitindo kwa kuingiza Sokoni Beauty line yake mpya aliyoipa jina la KKW 

KAMA WEWE NI MWANAMITINDO BILA SHAKA UTAKUWA UMECHUKUA KITU HATA KIMOJA

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu