Kim Kardashian atoa Somo kwa Wanamitindo

In Mitindo

 

Kim Kardashian

Mwanamitindo Maarufu Duniani na Mama wa Watoto Wawili, Kim Kardashian ambaye ni mke halali wa Rapper wa Marekani, Kanye West, Amefunguka Mapya yanayomfanya aendelee kuwa Bora kila wakati kwenye Suala Zima la Mitindo.

Mwanamitindo huyo amesema Siri kubwa aliyoihifadhi moyoni mwake inayomfanya aendelee kuwepo on Top kwa Wanamitindo, ni Kukubali kuyapokea yote mabaya na Mazuri anayotupiwa huku yeye akiyatumia kama Mafunzo kwake.

Kim amesema kuna wakati watu wanamtukana kiasi ambacho angekuwa na Moyo Dhaifu angeshakata tamaa lakini kutokana na Kujiamini kwake na kile anachokifanya yeye anachukulia kama Shule.

Kim Kardashian anaendelea kuweka tishio kwenye Tasnia ya Mitindo kwa kuingiza Sokoni Beauty line yake mpya aliyoipa jina la KKW 

KAMA WEWE NI MWANAMITINDO BILA SHAKA UTAKUWA UMECHUKUA KITU HATA KIMOJA

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu