Kim Kardashian atoa Somo kwa Wanamitindo

In Mitindo

 

Kim Kardashian

Mwanamitindo Maarufu Duniani na Mama wa Watoto Wawili, Kim Kardashian ambaye ni mke halali wa Rapper wa Marekani, Kanye West, Amefunguka Mapya yanayomfanya aendelee kuwa Bora kila wakati kwenye Suala Zima la Mitindo.

Mwanamitindo huyo amesema Siri kubwa aliyoihifadhi moyoni mwake inayomfanya aendelee kuwepo on Top kwa Wanamitindo, ni Kukubali kuyapokea yote mabaya na Mazuri anayotupiwa huku yeye akiyatumia kama Mafunzo kwake.

Kim amesema kuna wakati watu wanamtukana kiasi ambacho angekuwa na Moyo Dhaifu angeshakata tamaa lakini kutokana na Kujiamini kwake na kile anachokifanya yeye anachukulia kama Shule.

Kim Kardashian anaendelea kuweka tishio kwenye Tasnia ya Mitindo kwa kuingiza Sokoni Beauty line yake mpya aliyoipa jina la KKW 

KAMA WEWE NI MWANAMITINDO BILA SHAKA UTAKUWA UMECHUKUA KITU HATA KIMOJA

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu