Lipo Tatizo la ugonjwa wa shinikizo la macho nchini.

In Afya, Kitaifa

Tanzania imeungana na mataifa mengine katika maadhimisho ya wiki ya ugonjwa wa shinikizo la macho duniani huku takwimu zikionesha asilimia 90 ya watu wenye ugonjwa huo nchini hawajagundulika.

Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma yakiwa yamebaba kauli mbiu ya dunia niangavu tunza uoni wako ambapo, mganga mkuu wa serikali Dk Aifelo Sichalwe, ametoa tamko la serikali kwa niaba ya waziri wa afya na kueleza ukubwa wa ugonjwa huo nchini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu