Lipo Tatizo la ugonjwa wa shinikizo la macho nchini.

In Afya, Kitaifa

Tanzania imeungana na mataifa mengine katika maadhimisho ya wiki ya ugonjwa wa shinikizo la macho duniani huku takwimu zikionesha asilimia 90 ya watu wenye ugonjwa huo nchini hawajagundulika.

Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma yakiwa yamebaba kauli mbiu ya dunia niangavu tunza uoni wako ambapo, mganga mkuu wa serikali Dk Aifelo Sichalwe, ametoa tamko la serikali kwa niaba ya waziri wa afya na kueleza ukubwa wa ugonjwa huo nchini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu