Maandamano kifo cha George Floyd yaendelea.

In Kimataifa

Waandamanaji wanaopinga ubaguzi kwa mara nyingine  tena wameingia  mitaani katika miji nchini Marekani jana Jumapili kupaza sauti  zao za hasira dhidi ya ukatili wa polisi.
Wakati  huo huo utawala wa rais Donald Trump  uliwaita wanaoongoza maandamano hayo yaliyofanyika  katika  usiku wa  siku  tano  kuwa  ni  magaidi wa ndani. 

Rais Trump  aliwapongeza wanajeshi wa kikosi cha  ulinzi wa taifa kwa  kusema, “pongezi kwa  walinzi  wetu  wa  taifa kwa  kazi  nzuri waliyofanya  mara  walipowasili Minneapolis , Minesota, usiku  wa jana,” alisema  hayo  katika  ukurasa wa  Twitter

Waandamanaji  walichoma  moto  karibu  na  Ikulu ya  Marekani  ya White House wakati hali  ya  wasi  wasi  na  polisi  ilipopanda wakati  wa  siku  ya  tatu  mfululizo ya  maandamano  ya  usiku yaliyofanyika  kujibu kifo cha  George Floyd mikononi mwa  polisi mjini  huko Minesota. 

Waandamanaji pia walikusanya  vibao vya alama  za  barabarani  na vizuwizi  vya  plastiki  na  kuchoma moto  katikakti ya  mtaa  H. ..Baadhi  walishusha  bendera  ya  marekani  kutoka  katika  jengo  la karibu  na  kuitupa  katika  moto.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu