MADELEKA AIKIMBIA CHADEMA, AJIUNGA NA ACT

In Kitaifa, Siasa

Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita, ametangaza rasmi kujiunga kwa Wakili Peter Madeleka na chama hicho akitokea Chadema. Madeleka amekabidhiwa kadi ya uanachama na katiba ya chama kama ishara ya kupokelewa rasmi.

Hafla hiyo imefanyika leo Mei 20, 2025 katika makao makuu ya chama hicho Magomeni, Dar es Salaam. Isihaka amempongeza Madeleka kuwa ni mpigania haki za wananchi.

Akizungumza baada ya kupokelewa, Wakili Madeleka amesema ameamua kujiunga na ACT Wazalendo ili kuimarisha nguvu ya upinzani na kuwapa Watanzania matumaini ya mabadiliko. Amesisitiza umuhimu wa kupigania demokrasia na haki za binadamu kwa njia mbalimbali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu