Kufuatia kauli ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
kusema kuwa halmashauri ya jiji la Arusha imekuwa ikishindwa
kutekeleza majukumu yake na kumekuwa na ukwamishaji
mkubwa pamoja na kushindwa kutatua changamoto na
migogoro midogo midogo.
Madiwani wa halmashauri hiyo akiwemo mwenyekiti wa kamati
ya mipango miji Ally Bananga wamezungumzia shutuma hizo
katika baraza la madiwani lilifanyika jana,msikie hapa Ally
Bnanga.
Kwa uapnde mwingine pia diwani wa diwani wa kata ya levo
losi ndugu Ephata Nanyaro nae amelizungumzia swala hilo
akisema yawezekana mkuu wa mkoa kwa kauli alizozitoa
alikuwa na maslahi binafisi.