Mahujaji 35 waaga dunia wakifanya ibada Makkah.

In Kimataifa

 

Katika Ibada ya Hijja inayofanyika kila mwaka na kutekelezwa na Waislamu nchini Saudi Arabia katika Msikiti Mkuu mji wa Makkah eneo takatifu, Mahujaji 35 wafariki dunia.

Taarifa hizo zimetolewa rasmi na Wizara ya Afya nchini Misri, ambapo imesema kuwa siku ya kwanza ya ibada hiyo imepoteza Mahujjaji 35 kutokana na sababu ya uchovu na umri mkubwa.

Afisa mmoja wa Wizara hiyo, Ahmed el Ansary, amesema umri wa Mahujaji waliofariki ni kati ya miaka 60 hadi 85.

Katika Ibada hiyo ya Hijja mwaka huu zaidi ya Mahujaji milioni mbili wamehudhuria wakiwemo milioni 1.8 kutoka nje ya nchi.

 

Mahujaji hao wamekuwa wakifanya utaratibu huo wakifuata nyayo za Mtume wao Muhammad, aliyefanya utaratibu huo wa ibada miaka 1400 iliyopita.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu