MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) yasema itaendelea kuvifungia vituo vya mafuta ambavyo avijafunga mashine za (EFDs)

In Kitaifa
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kwamba licha ya kufungia mamia ya vituo vya mafuta nchi nzima, leo itaendelea na operesheni hiyo ya kufunga vituo vingine vya mafuta ambavyo havijafunga moja kwa moja mashine za malipo za kielektroniki (EFDs) na pampu.
Kamishna wa Kodi za Ndani wa TRA, Elijah Mwandumbya amesema jana kuwa watu ambao TRA imewafungia vituo vyao, watafunguliwa tu iwapo watakidhi vigezo ambavyo ni pamoja na kulipia mashine na kuingia makubaliano na mamlaka hiyo, kuwa ni muda gani mafundi watakuwa wamefunga mashine hizo.
Mwandumbya amesema kwa sasa TRA haitaruhusu wenye vituo vya mafuta waendelee kutumia mashine za mkono ambazo ziko nje ya mashine kwani wametumia mwanya huo kukwepa kodi ya serikali.
Amesema kati ya watu 10 wanaojaza mafuta, ni wawili tu ndio walikuwa wanapewa risiti hizo tena kwa kuzidai.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu