MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) yasema itaendelea kuvifungia vituo vya mafuta ambavyo avijafunga mashine za (EFDs)

In Kitaifa
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kwamba licha ya kufungia mamia ya vituo vya mafuta nchi nzima, leo itaendelea na operesheni hiyo ya kufunga vituo vingine vya mafuta ambavyo havijafunga moja kwa moja mashine za malipo za kielektroniki (EFDs) na pampu.
Kamishna wa Kodi za Ndani wa TRA, Elijah Mwandumbya amesema jana kuwa watu ambao TRA imewafungia vituo vyao, watafunguliwa tu iwapo watakidhi vigezo ambavyo ni pamoja na kulipia mashine na kuingia makubaliano na mamlaka hiyo, kuwa ni muda gani mafundi watakuwa wamefunga mashine hizo.
Mwandumbya amesema kwa sasa TRA haitaruhusu wenye vituo vya mafuta waendelee kutumia mashine za mkono ambazo ziko nje ya mashine kwani wametumia mwanya huo kukwepa kodi ya serikali.
Amesema kati ya watu 10 wanaojaza mafuta, ni wawili tu ndio walikuwa wanapewa risiti hizo tena kwa kuzidai.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu