MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) yasema itaendelea kuvifungia vituo vya mafuta ambavyo avijafunga mashine za (EFDs)

In Kitaifa
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kwamba licha ya kufungia mamia ya vituo vya mafuta nchi nzima, leo itaendelea na operesheni hiyo ya kufunga vituo vingine vya mafuta ambavyo havijafunga moja kwa moja mashine za malipo za kielektroniki (EFDs) na pampu.
Kamishna wa Kodi za Ndani wa TRA, Elijah Mwandumbya amesema jana kuwa watu ambao TRA imewafungia vituo vyao, watafunguliwa tu iwapo watakidhi vigezo ambavyo ni pamoja na kulipia mashine na kuingia makubaliano na mamlaka hiyo, kuwa ni muda gani mafundi watakuwa wamefunga mashine hizo.
Mwandumbya amesema kwa sasa TRA haitaruhusu wenye vituo vya mafuta waendelee kutumia mashine za mkono ambazo ziko nje ya mashine kwani wametumia mwanya huo kukwepa kodi ya serikali.
Amesema kati ya watu 10 wanaojaza mafuta, ni wawili tu ndio walikuwa wanapewa risiti hizo tena kwa kuzidai.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu