Mgombea Urais Miguel Uribe, afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

In Kimataifa

Seneta wa Colombia, Miguel Uribe, ambaye alikuwa amelazwa hospitalini tangu alipopigwa risasi kichwani mnamo Juni mwaka huu wakati wa hafla ya kampeni, amefariki dunia, familia yake imethibitisha Jumatatu.

Uribe, mwenye umri wa miaka 39, alikuwa Mgombea Urais kutoka upinzani wa mrengo wa kulia. Alipigwa risasi tarehe 7 Juni mjini Bogotá wakati wa maandamano ya kisiasa.

Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mitandao ya kijamii, mke wake, Maria Claudia Tarazona, alieleza huzuni yake akisema: “Naomba Mungu anionyeshe njia ya kujifunza kuishi bila wewe. Pumzika kwa amani, mpenzi wa maisha yangu nitawalea watoto wetu.”

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu