Mkuu wa Wilaya atoa Amri Afisa Maliasili akamatwe

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe Fakii Lulandala ametoa amri ya kukamatwa na kuhojiwa kwa saa arobaini na nane Afisa Maliasili Joseph Mayova Mbogela kwa kosa la kutoa kibali cha uvunaji miti kinyume cha sheria.

Lulandala amchukua hatua hiyo baada ya kumkuta Daniel Austin Simbeye mkazi wa Jijini Mbeya akikata miti katika Kijiji cha Ikana akidai kupewa kibali cha kuvuna misitu na Afisa malialisili Joseph Mbogela.

Aidha ametoa onyo kwa watumishi wengine kuacha kutoa vibali vya uvunaji misitu kinyume cha sheria.

Katazo la uvunaji miti Wilaya ya Momba lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe mwaka 2022 na mpaka sasa agizo hilo bado halijatenguliwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu