Mkuu wa Wilaya atoa Amri Afisa Maliasili akamatwe

In Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe Fakii Lulandala ametoa amri ya kukamatwa na kuhojiwa kwa saa arobaini na nane Afisa Maliasili Joseph Mayova Mbogela kwa kosa la kutoa kibali cha uvunaji miti kinyume cha sheria.

Lulandala amchukua hatua hiyo baada ya kumkuta Daniel Austin Simbeye mkazi wa Jijini Mbeya akikata miti katika Kijiji cha Ikana akidai kupewa kibali cha kuvuna misitu na Afisa malialisili Joseph Mbogela.

Aidha ametoa onyo kwa watumishi wengine kuacha kutoa vibali vya uvunaji misitu kinyume cha sheria.

Katazo la uvunaji miti Wilaya ya Momba lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe mwaka 2022 na mpaka sasa agizo hilo bado halijatenguliwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu