Muhimbili wapewa miezi 2 kuboresha utoaji huduma.

In Afya, Kitaifa

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepewa miezi
miwili kujitathimini uwezo wao wa usimamizi wa kutoa huduma
na kuboresha huduma kwa wateja.


Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin
Mollel alipokuwa akizungumza na Viongozi wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya wakijadili kuhusu uboreshaji wa
huduma za afya nchini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu