Muhimbili wapewa miezi 2 kuboresha utoaji huduma.

In Afya, Kitaifa

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepewa miezi
miwili kujitathimini uwezo wao wa usimamizi wa kutoa huduma
na kuboresha huduma kwa wateja.


Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin
Mollel alipokuwa akizungumza na Viongozi wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya wakijadili kuhusu uboreshaji wa
huduma za afya nchini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu