NMB yatoa gawio la shilingi bilioni 15 kwa Serikali.

In Kitaifa, Uchumi


Taarifa kutoka jijini Dodoma leo August 19 ni kwamba Waziri
wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango amepokea gawio la
Serikali kutoka Benki ya NMB gawio la shilingi bilioni 15.


Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango mara baada
ya kupokea gawio hilo la shilingi bilioni 15 kutoka benk ya
NMB ameishukuru benki hiyo na taasisi nyingine ambazo
zinakumbuka kutoa gawio kwa serikali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu