Waziri mpina acharuka mgogoro wa wakulima na wafugaji.

In Kitaifa


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amefanya ziara yake
Wilayani Chemba mkoa wa Dodoma, na kukutana na wafugaji
na wakulima ilikutatua migogoro iliyokuwa ikiwakabili.

Akizungumza na wananchi hao amewataka viongozi wa maeneo
hayo kuitatua migogoro hiyo na kuwataka wanachi kupendana.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu