NMB yatoa gawio la shilingi bilioni 15 kwa Serikali.

In Kitaifa, Uchumi


Taarifa kutoka jijini Dodoma leo August 19 ni kwamba Waziri
wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango amepokea gawio la
Serikali kutoka Benki ya NMB gawio la shilingi bilioni 15.


Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango mara baada
ya kupokea gawio hilo la shilingi bilioni 15 kutoka benk ya
NMB ameishukuru benki hiyo na taasisi nyingine ambazo
zinakumbuka kutoa gawio kwa serikali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu