Pipi zatumika kutibu Maji Wilayani Chemba Dodoma.

In Kitaifa

Licha ya kuwa Dodoma ni Makao Makuu ya Nchi,lakini hali
duni inayosababishwa na uhaba wa Maji safi na Salama pamoja
na miundombinu katika baadhi ya maeneo Wilayani Chemba
unawatesa wakaazi wake.


Katika kutafuta ufumbuzi wa kunusuru Afya zao baadhi yao
wameamua kujivisha utabibu wa asili,kwani wakati wewe
ukinunua pipi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo
kumumunya,katika wilaya ya Chemba ni tofaut kwani pipi hizo
hizo zinatumika kutibu maji,kama anavyoelezea mama huyu.


Katika upande wa miundombinu ya barabara hususani kwenye
madaraja bado ni chagamoto,kwani mvua kubwa zinaponyesha
kwa wingi hali huwa tete kutoka eneo moja kwenda jingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu