Rais J. Magufuli ameteua kamati ya pili ya uchunguzi wa madini

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli ameteua kamati ya Pili ya Uchunguzi kuhusu madini yaliyopo kwenye mchanga wenye madini ulio ndani ya makontena yaliyopo katika maeneo mbali mbali nchini.

Hii hapa ni taarifa kutoka Ikulu Dar-Es-Salaam

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu