Rais Samia ashiriki kumbukumbu ya mashujaa Dodoma.

In Kitaifa

Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia
Suluhu Hassan,leo alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya
siku ya kumbukumbu ya mashujaa yaliyofanyika jiini Dodoma.


Akizugumza katika Maadhimisho hayo yaliyofanyika leo Julai
25 2022,amewaambia watanzania ataendelea kuenzi mawazo ya
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na uamuzi wa Hayati
Dk John Magufuli,wa kuhamishia Serikali Dodoma akisema
kuwa hakuna kurudi nyuma.

Kwa upande mwingine Rais Samia amewakumbusha watanzania
kuendelea kuchanja chanjo ya Uviko 19,na pia kujiandikisha
kwenye zoezi la Sensa ya watu na makazi ambayo itafanyika
Agost 23.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu