RICK BOSS KUJA NA FILAMU ITAKAYOONYESHA TUPAC ALIVYODANGANYA KIFO.

In Burudani

Miezi kadhaa imepita tangu kuwepo na uvumi kuwa rappa mkongwe aliyejizolea umaarufu mkubwa Duniani Tupac Amaru Shakur #tupac yupo hai na anaishi nchini Mexico kwa siri.

Leo hii zimeibuka taarifa mpya kuhusu stori hizi ambapo mtengenezaji wa filamu kutoka huko Las Vergas #rickboss amesema kuwa ana mpango wa kutengeneza filamu ambayo itaonyesha jinsi rappa huyo alivyodanganya kifo na kukimbilia Mexico.

Boss amebainisha kuwa japo kuwa sio kweli lakini amedhamiria kufanya hivyo ili kuweka usawa kwa wale wanaoamini kuwa rappa huyo yupo hai na anaishi huko Mexico.

Hata hivyo amesema kuwa bado anasubiri kibali kwa mamlaka zinazohusika ili aweze kuingia kazini na kutengeneza filamu hiyo ambayo imepewa jina Tupac The Great Escape From UMC.

Radio5FmTheOnlyChoice

SisiSoteNiNdugu

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu