RIPOTI: TANZANIA YAONGOZA KWA AMANI AFRIKA MASHARIKI

In Kimataifa


Kwa mujibu wa ripoti ya Global Peace Index(GPI) inayotolewa na Taasisi ya Uchumi na Amani, Tanzania imeshika nafasi ya 7 kwa kuwa nchi yenye amani kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara

Kidunia, Tanzania imeshuka kutoka nafasi ya 51 mwaka 2018 hadi nafasi ya 54 mwaka 2019 kati ya nchi 163 huku Iceland, New Zealand, Uholanzi, Austria, Denmark, Canada, Singapore, Slovenia, Japan, na Czech zikiorodheshwa kuwa na amani zaidi Duniani

Wakati Tanzania ikiongoza Afrika Mashariki, Rwanda imeifuata ikiwa ya pili Afrika Mashariki lakini imeshika nafasi ya 17 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, ikifuatiwa na Uganda iliyoshika nafasi ya 23 na kisha Kenya ambayo ni ya 28

Nchi zilizoshika nafasi za juu katika eneo la jangwa la Sahara ni Mauritius, Botswana, Malawi, Ghana, Zambia na Sierre Leone huku Burundi, Chad, Cameroon, Mali, Nigeria, DR Congo, Somalia na Sudani Kusini zikishika nafasi za chini

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu