TANZANIA haidaiwi 4.1 Bilioni na EIB Wizara ya mipamgo yakanusha.

In Kitaifa, Uchumi

Wizara ya Fedha na Mipango yakanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikidai kuwa Benki va Uwekezaji ya Ulaya EIB, naidai Tanzania dola za Kimarekani bilioni 4.1 (zaidi ya shilingi trilioni 10 za Kitanzania) na kwamba mwezi Januari, Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, aliomba mkopo mwingine kwenye Benki hiyo, lakini ilikataa kutoa mkopo huo kwa sababu haijalipwa deni kwa muda wa miezi 28.

Wizara hiyo imesema mtandao huo umekuwa ukitoa taarifa za uzushi, upotoshaji na uzandiki didi ya Wizara ya Fedha na Mipango na Serikali kwa ujumla huku lengo lake likiwa halifahamiki bayana.

“Tunawaomba watanzania na Jumuiya ya Kimataifa, mzipuuze taarifa hizo, ambazo hazina ukweli wowote na kwa vyovyote vile zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki isiyokuwa na sababu za msingi.”
#radio5fm

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu