Tanzania mbioni kuitumia dawa mpya ya Saratani.

In Afya, Kitaifa

Serikali imesema ipo tayari kutumia dawa mpya ya saratani ya
utumbo iliyo gunduliwa huko nchini Marekani,endapo shirika la
Afya ulimwenguni litaipitisha na kuridhia matumizi ya dawa
hizo.


Hayo yamesemwa leo na Mkurugezi wa Taasisi ya utafiti wa
magonjwa ya binadamu hapa nchini NIMRI Prof Yunus Mgaya,
wakati wa kongamano la maswala ya utafiti ambayo imefanyika
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.


Amesema wao kama kituo cha utafiti watakuwa tayari kuifanyia
Majaribio ya kuridhia,endapo kama dawa hiyo itapitishwa na

WHO pamoja na kukidhi vigezo vya mamlaka ya vyakula na
dawa nchini TMDA.


Mtaa wamastori kwa uzuri tumeinasa sauti ya mkurugezi wa
Taasisi hiyo Prof Yunus Mgaya akibainisha hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu