Tanzania mbioni kuitumia dawa mpya ya Saratani.

In Afya, Kitaifa

Serikali imesema ipo tayari kutumia dawa mpya ya saratani ya
utumbo iliyo gunduliwa huko nchini Marekani,endapo shirika la
Afya ulimwenguni litaipitisha na kuridhia matumizi ya dawa
hizo.


Hayo yamesemwa leo na Mkurugezi wa Taasisi ya utafiti wa
magonjwa ya binadamu hapa nchini NIMRI Prof Yunus Mgaya,
wakati wa kongamano la maswala ya utafiti ambayo imefanyika
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.


Amesema wao kama kituo cha utafiti watakuwa tayari kuifanyia
Majaribio ya kuridhia,endapo kama dawa hiyo itapitishwa na

WHO pamoja na kukidhi vigezo vya mamlaka ya vyakula na
dawa nchini TMDA.


Mtaa wamastori kwa uzuri tumeinasa sauti ya mkurugezi wa
Taasisi hiyo Prof Yunus Mgaya akibainisha hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu