Tanzania mbioni kuitumia dawa mpya ya Saratani.

In Afya, Kitaifa

Serikali imesema ipo tayari kutumia dawa mpya ya saratani ya
utumbo iliyo gunduliwa huko nchini Marekani,endapo shirika la
Afya ulimwenguni litaipitisha na kuridhia matumizi ya dawa
hizo.


Hayo yamesemwa leo na Mkurugezi wa Taasisi ya utafiti wa
magonjwa ya binadamu hapa nchini NIMRI Prof Yunus Mgaya,
wakati wa kongamano la maswala ya utafiti ambayo imefanyika
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.


Amesema wao kama kituo cha utafiti watakuwa tayari kuifanyia
Majaribio ya kuridhia,endapo kama dawa hiyo itapitishwa na

WHO pamoja na kukidhi vigezo vya mamlaka ya vyakula na
dawa nchini TMDA.


Mtaa wamastori kwa uzuri tumeinasa sauti ya mkurugezi wa
Taasisi hiyo Prof Yunus Mgaya akibainisha hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu