Tetesi za Soka Ulaya.

In Mahusiano

Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha
mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30,
kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)
Manchester City wametanga £80m kuwa bei ya kumuuza winga
wa Algeria Riyad Mahrez, 29, ambaye amehusishwa na
uhamisho wa kuenda Paris St-Germain. (Sun)
Manchester United wanapanga ‘mkakati’ wa kusaini mkataba na
beki wa Barcelona na Ufaransa Samuel Umtiti, 26 msimu huu.
(Talksport)

Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta anataka kumuuza kiungo wa
kati wa Armenia Henrikh Mkhitaryan, 31, msimu wa joto huku
wakiwa na mpango wa kubadili mkataba ake wa mkopo kuwa
uhamisho wa kudumu . (Express)

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu