Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

In Kimataifa

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi hii ili kusaini makubaliano ya amani, Ikulu ya White House imesema.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio (katikati) katika hafla ya kusaini makubaliano ya amani na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Thérèse Kayikwamba Wagner (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Olivier Nduhungirehe (kushoto) katika Wizara ya Mambo ya Nje mjini Washington, DC, tarehe 27 Juni 2025.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU ATOA AGIZO KALI MKANDARASI AKAMATWE HATI YAKE IZUIWE

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu