Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi hii ili kusaini makubaliano ya amani, Ikulu ya White House imesema.

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi hii ili kusaini makubaliano ya amani, Ikulu ya White House imesema.
