Uchambuzi juu ya kuanza kwa mwaka mpya wa fedha

In Uchumi

Mpango wa Serikali kwa mwaka mpya wa fedha unaoanza leo Julai 01 2024 ni pamoja na kushughulikia wapigaji serikalini kwa kuzungumza na vyombo vinavyohusika na maadili, huku suala la upungufu wa sukari likitarajiwa kuwa historia mwakani.

Mbali na hayo yapo mambo ambayo yanayowagusa wananchi moja kwa moja pamoja na wafanyabiashara,mtaa wa Mastory tumezungumza na ndugu Walter Nguma mchambuzi wa masuala ya uchumi hapa nchini,kutaka kujua wananchi na wafanyabiashara watarajie nini kutoka na kuanza kwa mwaka mpya wa fedha wa serikali 2024/25 hii leo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu