Uchambuzi juu ya kuanza kwa mwaka mpya wa fedha

In Uchumi

Mpango wa Serikali kwa mwaka mpya wa fedha unaoanza leo Julai 01 2024 ni pamoja na kushughulikia wapigaji serikalini kwa kuzungumza na vyombo vinavyohusika na maadili, huku suala la upungufu wa sukari likitarajiwa kuwa historia mwakani.

Mbali na hayo yapo mambo ambayo yanayowagusa wananchi moja kwa moja pamoja na wafanyabiashara,mtaa wa Mastory tumezungumza na ndugu Walter Nguma mchambuzi wa masuala ya uchumi hapa nchini,kutaka kujua wananchi na wafanyabiashara watarajie nini kutoka na kuanza kwa mwaka mpya wa fedha wa serikali 2024/25 hii leo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu