Uhaba wa vitabu waelezwa kuwa ni changamoto.

In Kitaifa


Katibu mkuu wizara ya kilimo Gerald Kusaya amesema kuwa
baada ya kufanya ziara ya kutembelea vyuo mbali mbali vya
kilimo hapa nchini amegunduakuwa moja ya changamoto
iliyopo ni upatikanaji wa vitabu vya kiada na ziada.
Katibu mkuu huyo ameyaeleza hayo alipokuwa akizungumzia
upatikanaji wa njia ya kisasa ya wanavyuo kusoma vitabu kwa

mfumo wa Kielctronik,ambayo itasaidia kutatua lile tatizo la
ukosefu wa vitabu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu