Vurugu zaibuka ofisi za CCM Dodoma.

In Siasa


Vurugu zimeibuka katika ofisi za Chama cha Mapinduzi CCM
Wilaya ya Dodoma, baada ya baadhi ya Wanachama wa chama
hicho kudai kuwa majina ya Wagombea Udiwani yaliyopitishwa

yamebadilishwa bila sababu za msingi katika baadhi ya kata za
Wilaya ya hiyo.


Katibu wa CCM kata ya Ipagala Minudi Daniel alijikuta katika
wakati mgumu, baada ya kutoka nje ya ofisi hizo kwa lengo la
kuwafafanulia wanachama wake kinachoendelea,na baadaye
Polisi walifika na kutuliza ghasia hizo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu