Wajasiriamali Wapewa Somo na Waziri Amina Salum Ali

In Tekinolojia

Waziri wa Biashara na Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bi. Amina Salum Ali amewataka wajasiriamali nchini kutumia teknolojia ya kisasa kuzalisha bidhaa bora zenye viwango ambazo zitakidhi soko la ushindani.

Akizungumza kwenye kongamano la KCB JIAJIRI lililoshirikisha wajasiriamali zaidi ya elfu moja jijini DSM, Waziri Amina amesisitiza kwamba matumizi ya teknolojia katika kuzalisha bidhaa kuna mhakikishia mlaji usalama anapotumia bidhaa husika.

Aidha ametaka watanzania kujenga utamaduni wa kutumia bidhaa za ndani, akitolea mfano wa mataifa mengine yaliyozindua kampeni ya nchi zao kwanza, na kusema hata kwa hapa nchini inawezekana kuifanya Tanzania kwanza, kabla ya kununua bidhaa kutoka nchi nyingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu