Wajasiriamali Wapewa Somo na Waziri Amina Salum Ali

In Tekinolojia

Waziri wa Biashara na Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bi. Amina Salum Ali amewataka wajasiriamali nchini kutumia teknolojia ya kisasa kuzalisha bidhaa bora zenye viwango ambazo zitakidhi soko la ushindani.

Akizungumza kwenye kongamano la KCB JIAJIRI lililoshirikisha wajasiriamali zaidi ya elfu moja jijini DSM, Waziri Amina amesisitiza kwamba matumizi ya teknolojia katika kuzalisha bidhaa kuna mhakikishia mlaji usalama anapotumia bidhaa husika.

Aidha ametaka watanzania kujenga utamaduni wa kutumia bidhaa za ndani, akitolea mfano wa mataifa mengine yaliyozindua kampeni ya nchi zao kwanza, na kusema hata kwa hapa nchini inawezekana kuifanya Tanzania kwanza, kabla ya kununua bidhaa kutoka nchi nyingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu