Waliokosa nafasi kidato cha nne wapewa maelekezo.

In Uncategorized

Waziri wa nchi ofisi ya rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa TAMISEMI Selemani Jafo, ametoa wito kwa wanafunzi
waliokosa nafasi za kujiunga na masomo ya kidato cha tano kwa
kukosa tahasusi zinazokidhi vigezo.


Wanafunzi hao wametakiwa kuomba nafasi za masomo katika
vyuo vinavyosimamiwa na NACTE ili kuweza kupata nafasi ya
kuendelea na masomo katika vyuo hivyo.
Jafo ametoa wito huo jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu
matokeo ya uchaguzi wa awamu ya pili ya wanafunzi
waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu