Wasanii wa Hip-Hop Tanzania, Roma na Moni Central Zone Wametekwa na Watu wasiojulikana jana

In Burudani

Kuna taarifa imetolewa na Mbunge wa Mikumi na Mwanamuziki Mkongwe wa Hip-Hop Nchini, Joseph Haule maarufu kama Professor J kwamba usiku wa jana Majira ya Saa moja kuna watu waliovamia Studio za Tongwe Records na kuwateka Wasanii Wawili wa Hip-Hop, Roma Mkatoliki na Moni Central Zone.

Professor Jay ametumia Mtandao wa Instagram kutoa taarifa hizo ambapo amepost picha ya Roma Mkatoliki na Moni na kuandika Maneno haya hapa chini:-

ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU HUU… Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana..
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!

Watanzania Wametoa maoni Tofauti Tofauti kupitia Tukio hilo unaweza kuyafuatilia kwenye Post hiyo Live Instagram hapa chini


Bado tunafuatilia undani wa Tukio Hilo endelea kusikiliza Radio5

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu