Wasanii wa Hip-Hop Tanzania, Roma na Moni Central Zone Wametekwa na Watu wasiojulikana jana

In Burudani

Kuna taarifa imetolewa na Mbunge wa Mikumi na Mwanamuziki Mkongwe wa Hip-Hop Nchini, Joseph Haule maarufu kama Professor J kwamba usiku wa jana Majira ya Saa moja kuna watu waliovamia Studio za Tongwe Records na kuwateka Wasanii Wawili wa Hip-Hop, Roma Mkatoliki na Moni Central Zone.

Professor Jay ametumia Mtandao wa Instagram kutoa taarifa hizo ambapo amepost picha ya Roma Mkatoliki na Moni na kuandika Maneno haya hapa chini:-

ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU HUU… Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana..
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!

Watanzania Wametoa maoni Tofauti Tofauti kupitia Tukio hilo unaweza kuyafuatilia kwenye Post hiyo Live Instagram hapa chini


Bado tunafuatilia undani wa Tukio Hilo endelea kusikiliza Radio5

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu