Salomon Kalou ashinda tuzo kubwa Ujerumani

In Michezo

Mwanasoka wa Ivory Coast, Salomon Kalou anayeichezea pia Club ya Hertha Berliner katika ligi kuu ya Nchini Ufaransa  ametwaa tuzo ya Duku Film.

Kwa taarifa aliyoiweka kwenye Account yake ya Mtandao wa Instagram kupitia video aliyoipost, Kalou ameshinda tuzo hiyo usiku wa Jumatatuya April 3 mwaka 2017 kwenye tamasha la Berlin International Film Festival.

Kalou akipokea Tuzo hiyo

Kwenye Video hiyo Kalou ameambatanisha na Maneno haya “Without Struggle There Is No Progress #SKLEC.”

HII HAPA NDIYO VIDEO YENYEWE

“Without Struggle There Is No Progress” #SKLEC

A post shared by Salomon Kalou (@salomonkalou) on

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu