Salomon Kalou ashinda tuzo kubwa Ujerumani

In Michezo

Mwanasoka wa Ivory Coast, Salomon Kalou anayeichezea pia Club ya Hertha Berliner katika ligi kuu ya Nchini Ufaransa  ametwaa tuzo ya Duku Film.

Kwa taarifa aliyoiweka kwenye Account yake ya Mtandao wa Instagram kupitia video aliyoipost, Kalou ameshinda tuzo hiyo usiku wa Jumatatuya April 3 mwaka 2017 kwenye tamasha la Berlin International Film Festival.

Kalou akipokea Tuzo hiyo

Kwenye Video hiyo Kalou ameambatanisha na Maneno haya “Without Struggle There Is No Progress #SKLEC.”

HII HAPA NDIYO VIDEO YENYEWE

“Without Struggle There Is No Progress” #SKLEC

A post shared by Salomon Kalou (@salomonkalou) on

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu