Watu takribani 700 wauawa Nchini Ethiopia.

In Kimataifa

Tume ya haki za binadamu nchini Ethiopia imesema kuwa watu takribani 700 wameuawa mnamo miezi 16 iliyopita kutokana na ghasia zilizoibuka nchini humo.
Uchunguzi wa tume hiyo umebainisha kuwa wengi wao waliuawa wakati wa maandamano, pale polisi walipotumia nguvu kuzima vuguvugu la upinzani lililoshamiri katika maeneo ya vijijini mwaka mmoja uliopita.
Watu wa jamii ya Oromo waliandamana katika jimbo lao na pia katika mji mkuu, Addis Ababa, wakilalamikia kutengwa katika shughuli za kisiasa na za kiuchumi. Sheria ya hali ya hatari ya miezi sita ilitangazwa mwezi Oktoba nchini Ethiopia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu