Watu takribani 700 wauawa Nchini Ethiopia.

In Kimataifa

Tume ya haki za binadamu nchini Ethiopia imesema kuwa watu takribani 700 wameuawa mnamo miezi 16 iliyopita kutokana na ghasia zilizoibuka nchini humo.
Uchunguzi wa tume hiyo umebainisha kuwa wengi wao waliuawa wakati wa maandamano, pale polisi walipotumia nguvu kuzima vuguvugu la upinzani lililoshamiri katika maeneo ya vijijini mwaka mmoja uliopita.
Watu wa jamii ya Oromo waliandamana katika jimbo lao na pia katika mji mkuu, Addis Ababa, wakilalamikia kutengwa katika shughuli za kisiasa na za kiuchumi. Sheria ya hali ya hatari ya miezi sita ilitangazwa mwezi Oktoba nchini Ethiopia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu