Makamu wa Rais wa Marekani na naibu Waziri mkuu wa Japan wakubaliana kuweka msukumo wa kidiplomasia na kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini.

In Kimataifa

Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence na naibu Waziri mkuu wa Japan Taro Aso,wamekubaliana kuweka msukumo wa Kidiplomasia na kiuchumi dhidi ya Korea Kasikazini kuishinikiza kuachana na mpango wake wa silaha za Nyuklia.
Akizungumza mjini Tokyo Japan, Pence amesema Marekani ina amini kuwa njia yenye mafanikio ni mazungumzo ya kimataifa kuishinikiza na kuitenga Korea Kaskazini kutokana na msimamo wake,lakini amesisitiza kuwa njia zote zina uzito wake.
Marekani itaendelea kushirikiana na Japan na washirika wengine katika ukanda na China,kuweka vikwazo vya kidplomasia na kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini,ili iachane na mpango wake wa silaha za nyuklia.Lakini mapendekezo yote yanaendelea kujadiliwa.
Katika mkutano huo Abe amemwambia Pence kuwa Japan inataka kufikia makubaliano kwa njia ya majadiliano.
Marekani kwa sasa imekuwa ikitafutwa uungwaji mkono katika kuikabili Korea Kaskazini.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu