Wazazi waaswa wasiwafiche watoto walemavu.

In Kitaifa

Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu nchini shivyawata, limewataka wazazi na walezi kutowaficha majumbani watoto wenye ulemavu.

Badala yake shirikisho hilo limewataka wawapeleke shule wapate elimu, kwani elimu ni haki yao kama watoto wengine wasiokuwa na ulemavu.

Antenna imemnasa Bi Ummy Nderiananga mwenyekiti wa shirikisho hilo, akitoa wito huo kwa watanzania.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu