Wazazi waaswa wasiwafiche watoto walemavu.

In Kitaifa

Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu nchini shivyawata, limewataka wazazi na walezi kutowaficha majumbani watoto wenye ulemavu.

Badala yake shirikisho hilo limewataka wawapeleke shule wapate elimu, kwani elimu ni haki yao kama watoto wengine wasiokuwa na ulemavu.

Antenna imemnasa Bi Ummy Nderiananga mwenyekiti wa shirikisho hilo, akitoa wito huo kwa watanzania.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu