Waziri awaita watakaosaidia nchi kupata mafuta bei rahisi.

In Kitaifa, Uchumi

Waziri wa Nishati Mhe Januari Makamba, ametoa wito kwa
Watanzania wote kutoa ushirikiano katika ununuzi wa mafuta
kwa kuwasiliana na wizara yake iwapo wana taarifa za namna
ya kupata mafuta ya bei rahisi.


Ametoa kauli bungeni hiyo leo Jumatano Aprili 13, 2022 katika
majadiliano ya bajeti ya waziri mkuu, ambapo amesisitiza
watakaopeleka taarifa hizo waihakikishie Serikali kuwa mafuta
hayo yatakuwa yanapatikana wakati wote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WATANZANIA WATAKIWA KUIUNGA MKONO JKT QUEENS

MKUU wa JKT Meja Jenerali RAJABU MABELE, amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha Taifa na

Read More...

SERIKALI YATOA BIL 424.6 UTEKELEZAJI MIRADI YA TANRODS RUKWA-ENG MWANGA

KATIKA kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu