Siku ya Majaribio ya Treni ya umeme Dar/Moro yatajwa.

In Kitaifa

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Reli Tanzania TRC Masanja
Kadogosa amesema kuwa mwisho wa Mwezi April Treni ya
umeme ya majaribio itaanza kutembea kutoka Dar es salaam
hadi mkoani Morogoro ikiwa ni kwa ara ya kwanza kwa kipande
hicho.


Ameyasema hayo mbele ya Waziri wa Ujenzi na uchukuzi Prof
Makame Mbarawa,wakati wa zoezi uwekaji wa jiwe la msingi la
ujenzi wa Reli ya kisasa kutoka Makutupora mkoani Dodoma
hadi Tabora.



Kwa upande wake waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor
Mbarawa,amemtaka mkandarasi kukamilisha mradi huo kwa
wakati,na hatavumilia kuona uzembe kwani serikali imeshalipa
fedha zote za maradi huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu