Siku ya Majaribio ya Treni ya umeme Dar/Moro yatajwa.

In Kitaifa

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Reli Tanzania TRC Masanja
Kadogosa amesema kuwa mwisho wa Mwezi April Treni ya
umeme ya majaribio itaanza kutembea kutoka Dar es salaam
hadi mkoani Morogoro ikiwa ni kwa ara ya kwanza kwa kipande
hicho.


Ameyasema hayo mbele ya Waziri wa Ujenzi na uchukuzi Prof
Makame Mbarawa,wakati wa zoezi uwekaji wa jiwe la msingi la
ujenzi wa Reli ya kisasa kutoka Makutupora mkoani Dodoma
hadi Tabora.



Kwa upande wake waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor
Mbarawa,amemtaka mkandarasi kukamilisha mradi huo kwa
wakati,na hatavumilia kuona uzembe kwani serikali imeshalipa
fedha zote za maradi huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu