Waziri awaita watakaosaidia nchi kupata mafuta bei rahisi.

In Kitaifa, Uchumi

Waziri wa Nishati Mhe Januari Makamba, ametoa wito kwa
Watanzania wote kutoa ushirikiano katika ununuzi wa mafuta
kwa kuwasiliana na wizara yake iwapo wana taarifa za namna
ya kupata mafuta ya bei rahisi.


Ametoa kauli bungeni hiyo leo Jumatano Aprili 13, 2022 katika
majadiliano ya bajeti ya waziri mkuu, ambapo amesisitiza
watakaopeleka taarifa hizo waihakikishie Serikali kuwa mafuta
hayo yatakuwa yanapatikana wakati wote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu