WhatsApp Kuanzisha Huduma ya WhatsApp Money kwa ajili ya kutuma na kupokea Fedha

In Tekinolojia

Hakika Mtandao Namba moja Duniani kwa Kutumiana Jumbe na Mafaili mbalimbali, WhatsApp wameamua kwamba Airtel Money, M-Pesa na Tigo Pesa Wajipange kupoteza Wateja.

Wamiliki wa WhatsApp wameamua Kumuajiri Mkurugenzi mpya ambaye ataongoza  jitihada hizo za malipo ya dijitali Duniani wakianza na Nchi ya India ambapo wanaamini ndipo walipo na Watumiaji WhatsApp wengi zaidi ya Nchi zote Duniani.

WhatsApp Wamesema Huduma yao hiyo mpya itashirikiana na mabenki katika kusaidia miamala ya kidijitali kwa kutumia WhatsApp. India ina watumiaji wa WhatsApp milioni 200 kila mwezi ambayo ni moja ya tano ya watumiaji wake wote ndiyo sababu ya wao kuamua Kuipeleka huduma hiyo nchini humo kabla ya sehemu zingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu