WhatsApp Kuanzisha Huduma ya WhatsApp Money kwa ajili ya kutuma na kupokea Fedha

In Tekinolojia

Hakika Mtandao Namba moja Duniani kwa Kutumiana Jumbe na Mafaili mbalimbali, WhatsApp wameamua kwamba Airtel Money, M-Pesa na Tigo Pesa Wajipange kupoteza Wateja.

Wamiliki wa WhatsApp wameamua Kumuajiri Mkurugenzi mpya ambaye ataongoza  jitihada hizo za malipo ya dijitali Duniani wakianza na Nchi ya India ambapo wanaamini ndipo walipo na Watumiaji WhatsApp wengi zaidi ya Nchi zote Duniani.

WhatsApp Wamesema Huduma yao hiyo mpya itashirikiana na mabenki katika kusaidia miamala ya kidijitali kwa kutumia WhatsApp. India ina watumiaji wa WhatsApp milioni 200 kila mwezi ambayo ni moja ya tano ya watumiaji wake wote ndiyo sababu ya wao kuamua Kuipeleka huduma hiyo nchini humo kabla ya sehemu zingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu