WhatsApp Kuanzisha Huduma ya WhatsApp Money kwa ajili ya kutuma na kupokea Fedha

In Tekinolojia

Hakika Mtandao Namba moja Duniani kwa Kutumiana Jumbe na Mafaili mbalimbali, WhatsApp wameamua kwamba Airtel Money, M-Pesa na Tigo Pesa Wajipange kupoteza Wateja.

Wamiliki wa WhatsApp wameamua Kumuajiri Mkurugenzi mpya ambaye ataongoza  jitihada hizo za malipo ya dijitali Duniani wakianza na Nchi ya India ambapo wanaamini ndipo walipo na Watumiaji WhatsApp wengi zaidi ya Nchi zote Duniani.

WhatsApp Wamesema Huduma yao hiyo mpya itashirikiana na mabenki katika kusaidia miamala ya kidijitali kwa kutumia WhatsApp. India ina watumiaji wa WhatsApp milioni 200 kila mwezi ambayo ni moja ya tano ya watumiaji wake wote ndiyo sababu ya wao kuamua Kuipeleka huduma hiyo nchini humo kabla ya sehemu zingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu