World Vission wasisitiza Ulinzi kwa watoto.

In Kitaifa

Imeelezwa kuwa suala la Kumlinda Mtoto ni Wajibu wa kila mmoja katika Eneo lolote alipo ili kuhakikisha Taifa linakuwa bora na kutengeneza Viongozi wajao.

Kauli hiyo imetolewa na Mtaalamu wa jinsia na Utetezi kutoka Shirika la World Vission Tanzania Bi. Tumain Fredy wakati akizungumza kulekea Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo huadhimishwa June 16 ya kila Mwaka.

Bi, Tumain amesema suala la kumlinda Mtoto ni Jukumu la kila mmoja bila kujali huyo ni Mtoto wa nani.

Katika hatua nyingine amesema WORLD VISSION wameamua kushirikiana na Viongozi wa Dini katika kupambana kulinda haki ya Mtoto kwa sababu Viongozi hoa wana uwanda mpana wa kukutana na Jamii.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu