Misri yampongeza Rais Magufuli kwa utawala mzuri.

In Kimataifa, Kitaifa

Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii, katika maeneo makuu kumi.

Maeneo hayo ni pamoja na kuimarisha uhusiano, ulinzi na kujenga kiwanda kikubwa cha nyama, pamoja na kiwanda cha dawa nchini.

Hata hivyo suala la matumizi ya maji ya Mto Nile halijapatiwa muafaka, na mazungumzo yanaendelea kuwezesha matumizi yenye faida ya mto huo kwa nchi zote zinazohusika.

Aidha Misri imempongeza Rais Magufuli kwa utawala mzuri, kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi, na kufafanua kuwa nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Tanzania.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu