Rais wa Uganda Yoweri Mueveni amevitaka vikosi vya usalama kuwacha kuwatesa wahalifu ikiwa wamekuwa wakifanya hivyo.

In Kimataifa

Rais wa Uganda Yoweri Mueveni amevitaka vikosi vya usalama kuwacha kuwatesa wahalifu ikiwa wamekuwa wakifanya hivyo.

Kwa njia ya barua kwa maafisa wa ngazi za juu serikalini akiwemo waziri wa masuala ya ndani, amesema kutumia mateso kunaweza kusababisha mtu asiye na makosa kukiri na hivyo sio njia bora, ya kupata ushahidi ambao unaweza kutumika mahakamani.

Amesema kuwa Uganda imekabiliana na changamoto mbaya za kiusalama ,kuliko tishio kutoka kwa wahalifu wanaotumia pikipiki maarufu kama boda boda.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu