Asilimia 1.4 ya Watanzania wanajisaidia vichakani.

In Afya, Kitaifa

Imeelezwa kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani
imepungua kutoka asilimia 5.7 mwaka 2017,hadi asilimia 1.4
Desemba 2021.


Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,
wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya
Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka
mitano ya kampeni hiyo nchini.


Amesema sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika
baadae mwaka huu itatoa takwimu halisi ni kwa kiasi gani
Watanzania wamefanikiwa katika kuwekeza katika kuwa na
vyoo bora,na kuyataja baadhi ya maeneo yaliyofanya vizuri
katika kampeni hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu