Babu Tale asema Paul Makonda anajua Roma na Wenzake walipo

In Burudani

Manager wa Diamond, Babu Tale amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar-Es-Salaam yeye ndiye anayejua alipo Msanii Roma  na Wenzake waliotekwa juzi Jumatano jioni katika Studio za Tongwe Records Jijini Dar.

Babu Tale ametumia Mtandao wa Instagram Kuelezea hisia zake hizo kwa kupost Picha hii hapa chini ya Paul Makonda na Kusisindikiza na Maneno hayo hapo Chini ya Picha.


“Uoga ni uzembe me nazani mwenye jukumu la kujua Roma yupo wapi ni Mkuu wa koa sababu yeye ndio kiongozi wa kamati ya usalama ya mkoa sasa ikiwa tumezunguka vituo vyote vya polisi na mwenzetu atumuoni nani wa kumfuata kumwambia tunamtaka mwenzetu kama sio @paulmakonda me naanza hili bila uoga mkuu wa mkoa naomba utusaidie kutuambia mnzetu @roma2030 alipo. Tukutane Tongwe mida hii me nipo kwa foleni wakuu #uogauzembe#freeroma”

Kufuatia Post hiyo ya Babu Tale Watanzania wametoa Maoni yao mbali mbali unaweza kuyasoma kwa kufuatilia Post hiyo hapo chini ikiwa kwenye instagram moja kwa moja

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu