Babu Tale asema Paul Makonda anajua Roma na Wenzake walipo

In Burudani

Manager wa Diamond, Babu Tale amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar-Es-Salaam yeye ndiye anayejua alipo Msanii Roma  na Wenzake waliotekwa juzi Jumatano jioni katika Studio za Tongwe Records Jijini Dar.

Babu Tale ametumia Mtandao wa Instagram Kuelezea hisia zake hizo kwa kupost Picha hii hapa chini ya Paul Makonda na Kusisindikiza na Maneno hayo hapo Chini ya Picha.


“Uoga ni uzembe me nazani mwenye jukumu la kujua Roma yupo wapi ni Mkuu wa koa sababu yeye ndio kiongozi wa kamati ya usalama ya mkoa sasa ikiwa tumezunguka vituo vyote vya polisi na mwenzetu atumuoni nani wa kumfuata kumwambia tunamtaka mwenzetu kama sio @paulmakonda me naanza hili bila uoga mkuu wa mkoa naomba utusaidie kutuambia mnzetu @roma2030 alipo. Tukutane Tongwe mida hii me nipo kwa foleni wakuu #uogauzembe#freeroma”

Kufuatia Post hiyo ya Babu Tale Watanzania wametoa Maoni yao mbali mbali unaweza kuyasoma kwa kufuatilia Post hiyo hapo chini ikiwa kwenye instagram moja kwa moja

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu