Britney Spears aonana na Watoto wake

In Burudani, Kimataifa

Hatimaye Britney Spears, ameweza kuwaona watoto wake, kwani alikua amezuiliwa
amezuiliwa kuona watoto wake na aliye kuwa mume wake na mzazi mwenzake, Kevin
Federline,


Ex huyu wa Britney spears, ameonyeshwa kutokufurahishwa na safari ya Britney kuelekea
Lousiana kuona familia yake mwishoni mwa mwezi wa nne, na kumwambia kwamba kama
atataka kuwaona watoto wao Sean (14) na Jayden(13) lazima ajitenge kwa siku 14, na
mwanzoni mwa wiki hii ameweza kuwaona watoto wake baada ya kumaliza siku 14 za
kujitenga!

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu